DK. MWINYI ATEMBELEA ENEO LA UWEKEZAJI BANDARI YA KISASA MANGAPWANI
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (wa pili kushoto) akisalimiana na baadhi ya viongozi alipowasili katika eneo linalotarajiwa
kujengwa kwa bandari ya kisasa Mwangapwani wilaya ya Kaskazibi 'B'.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali
Mwinyi, akimsikiliza CEO wa Kampuni ya United Petroleum Collins Chemngorem (alieshika kipaza sauti). Wa kwanza kulia ni Mkuu wa mkoa
wa Kaskazini Unguja Ayoub Mohammed Mahmoud na kati kati ni Waziri wa
Ujenzi Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar Rahma Kassim Ali.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali
Mwinyi, akimsikiliza Katibu Tawala wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Makame
Machano Haji akitowa maelezo ya eneo la Ujenzi wa Bandari ya Kisasa
Mwangapwani Wilaya ya Kaskazini 'B' Unguja wakati wa ziara hiyo.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali
Mwinyi akimsikiliza Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Uchukuzi
Zanzibar, Amour Hamil Bakari, akitoa maelezo ya michoro ya Ramani ya eneo
la Ujenzi wa Bandari ya Kisasa katika eneo la Mwangapwani Wilaya ya Kaskazini
'B' Unguja wakati wa ziara yake kujionea eneo hilo linalotarajiwa ujenzi huo na
(kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Ayoub Mohammed Mahmoud.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akizungumza na kutaka ufafanuzi, kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini
Unguja, Ayoub Mohammed Mahmoud,wakati wa ziara yake kutembelea eneo
linalotarajiwa kujengwa Bandari ya Kisasa katika eneo la Mwangapwani Wilaya ya
Kaskazini 'B' Unguja, akiwa katika eneo la Mradi wa Island Petroleum
Group lililojengwa matangi ya mafuta.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali
Mwinyi, akizungumza na Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vilioko
Zanzibar(hawapo pichani) baada ya kumaliza ziara yake kutembelea eneo la
ujenzi wa bandari ya kisasa Mwangapwani Mkoa wa Kaskazini Unguja.(PICHA ZOTE NA IKULU).
Comments
Post a Comment