Takribani watu 50 hufariki kwa maradhi ya moyo duniani kila siku
.jpg)
NA MWANDISHI MAALUMU , ZANZIBAR IMEELEZWA kuwa ma radhi ya moyo na shinikizo la damu yana changia takribani vifo vya watu milioni 20 kwa mwaka u limwengu ni, idadi ambayo ni sawa na vifo 50 k w a siku. Akifungua mkutano wa tatu wa kimataifa wa maradhi ya moyo kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , D kt . Samia Suluhu Hassan , Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar , Hemed Suleiman Abdull a, a lieleza kuwa k wa Ta nzania takribani watu milioni 4.9 wanas umbuliwa na magonjwa hayo amba yo huchangia asilimia 13 ya vifo v inav yote kea nchini. Hivyo aliwa himiza washiriki wa mkutano huo kutumia fursa waliyoipata kujumuika pamoja kutafuta mbinu za kudhibiti ongezeko la magonjwa h ayo kwa kujengeana uwezo na ku imarisha nyenzo za utendaji kazi ili kukabiliana na tabia zinazochochea magonjwa yasioyoambukiza h ususani ya moyo na mishipa ya damu . MKURUGENZI Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), Dkt. Peter Kis...