RAIS SAMIA APOKEA TAARIFA YA KIKOSI KAZI
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wajumbe wa Kikosi Kazi cha kuratibu Maoni ya Wadau wa Demokrasia ya Vyama vingi vya Siasa mara baada ya kupokea taarifa yao Ikulu Jijini Dar es Salaam Machi 21, 2022.
BAADHI ya Wajumbe
wa Kikosi Kazi cha kuratibu Maoni ya Wadau wa Demokrasia ya Vyama vingi vya
Siasa wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu
Hassani alipokuwa akizungumza nao mara baada ya kupokea Taarifa yao Ikulu
Jijini Dar es Salaam Machi 21, 2022.
Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan (katikati mstari wa mbele) akiwa katika picha ya pamoja na
Wajumbe wa Kikosi Kazi cha kuratibu Maoni ya Wadau wa Demokrasia ya Vyama vingi
vya Siasa mara baada ya kupokea Taarifa yao Ikulu Jijini Dar es Salaam Machi 21,
2022.
(PICHA ZOTE NA IKULU, JMTZ).
Comments
Post a Comment